• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
Wanging'ombe District Council
Wanging'ombe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Kilimo
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Mipango na Ufuatiliaji
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Mazingira
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Utawala na Rasilimali Watu
    • Kitengo
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Sheria
      • Kitengo cha Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma ya Maji
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha uongozi na Mipango
      • Kamati ya UKIMWI
      • Maadili
      • Uchumi,Afya na Elimu
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kumwona Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Gazeti la Serikali
    • Sheria ndogo za Halmashauri
    • Mpango mkakati wa Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Matukio
    • Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

Kitengo cha Manunuzi na Ugavi

KITENGO CHA MANUNUZI

Kitengo cha Manunuzi Katika Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe kilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Manunuzi Na. 07 ya mwaka 2011 kifungu cha 37.

Kitengo cha Manunuzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe kina Watumishi 3 wapo makao makuu

Mfumo wa mawasiliano kwa mujibu wa sheria ni kuripoti moja kwa moja kwa Mkurugenzi, pia kitengo kina bajeti inayojitegemea ili kutekeleza majukumu yake.

Majukumu ya Kitengo cha Manunuzi.

Kusimamia majukumu yote ya Manunuzi na Kuuza Mali za Halmashauri.

Kusaidia kazi za Bodi ya zabuni.

Kutekeleza Maamuzi ya Bodi ya Zabuni.

Kuandaa Mpango wa manunuzi wa Halmashauri na uuzaji wa Mali za H/W.

Kushauri Manunuzi ya H/W na uuzaji wa Mali za H/W.

Kuandaa orodha ya mahitaji ya Idara na Vitengo.

Kuandaa Makabrasha ya Zabuni.

Kuandaa Matangazo ya Zabuni na Fursa Mbalimbali.

Kuandaa Mikataba mbalimbali ya manunuzi.

Kutoa makabrasha ya mikataba ambayo imepitishwa na

Kutunza kumbukumbu mbalimbali za manunuzi na uuzaji wa mali za H/W.

Kuandaa orodha ya mikataba yote ambayo H/W imeingia na wazabuni.

Kuandaa taarifa za mwezi, robo na mwaka za Bodi ya zabuni ya H/W.

Kuandaa Taarifa za Robo na kuwasilishwa katika vikao vya Kamati ya Fedha Mipango na Utawala.

Kuratibu manunuzi na uuzaji mali za H/W.

Kuandaa Taarifa nyingine mbalimbali kadri zinavyohitajika na Mamlaka.

Matangazo

  • Mwongozo wa uchaguzi waViongozi wa ngazi ya vijiji na vitongoji September 07, 2019
  • Mwongozo wa Elimu kwa Mpiga kura September 07, 2019
  • Tangazo la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa August 30, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA ZA UALIMU SHULE YA MSINGI NA SEKONDARI March 02, 2019
  • Itizame yote

Habari mpya

  • MAENDELEO YA NCHI YATALETWA NA WANANCHI WENYE AFYA BORA KUPITIA CHF ILIYOBORESHWA

    November 07, 2019
  • MAPATO YA NDANI YAAKISI MAENDELEO YA KWELI KWA WANANCHI “KASINGE”

    August 01, 2019
  • KATAZO LA MATUMIZI YA MIFUKO YA PLASTIKI (RAMBO)

    May 13, 2019
  • Shilingi Milioni 94 kuwanufaisha akina Mama,Vijana na Walemavu Wanging'ombe

    January 23, 2019
  • Itizame yote

Video

NYUMBANITU: Msitu wa maajabu uliopo Wilaya ya Wanging'ombe ambamo kunapatikana kuku weusi tu na wasiopungua wala kuongezeka
Video Nyingine

Kurasa za Karibu

  • Vivutio vya Utalii Wanging'ombe
  • Historia ya Halmashauri ya Wanging'ombe
  • Mfumo wa Mawasiliano ya ndani wa Serikali Government Mailing System (GMS)

Tovuti Mashuhuri

  • Mfumo wa Vibali vya Safari Nje ya Nchi kwa watumishi wanaopewa ruhusa na Katibu Mkuu Kiongozi
  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • BUNGE
  • Halmashauri ya Mji Makambako
  • Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Wasomaji mbalimbali duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji,Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe.

    Sanduku la Posta: P.o.Box 64 Njombe

    Simu ya mezani: 0766050788

    Simu ya Kiganjani: 0766050788

    Barua pepe: ded@wangingombedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani

Hati miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Wanging'ombe. Haki zote zimehifadhiwa